Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- – Sheikh Ahmad bin Hamad al-Khalili, Mufti wa Ufalme wa Oman, amelaani mauaji ya waandishi wa habari yaliyofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza.
Akiwasilisha rambirambi zake kwa familia za mashahidi, amesema anasikitishwa kwamba bado wapo wanaoendelea kuunga mkono uvamizi kwa maneno na fedha, bila kuchukua hatua yoyote ya kusitisha uhalifu huo.
Your Comment